Darwat electrics

Darwat electrics Site visit : Tsh.30,000/=
☎️ 𝟬𝟲𝟱𝟯 𝟱𝟯𝟱 𝟱𝟵𝟱

Karibu Darwat electrics wataalamu umeme wa majumbani na viwandani.Huduma zetu:-

🔵WIRING
🔵INDUSTRIAL & HOME AUTOMATION
🔵SECURITY SYSTEMS
🔵AIR CONDITIONING
🔵SOLAR SYSTEMS
🔵SUBMETERS

30/07/2026

Umefikia hatua ya kufanya wiring na unahitaji kupata ushauri wa kitaalamu?

Tuone Darwat electrics .

Sisi ni timu ya ufundi na umeme, tunahusika na:-

✅Kutoa ushauri wa kitaalamu kabla ya Ujenzi wa miundombinu ya umeme.
✅Kufanya wiring majengo yote.
✅Kufunga na kutengeneza Air conditioners.
✅Kukarabati wiring chakavu.
✅Kufunga mifumo ya Solar.
✅Kufunga mifumo ya ulinzi k**a CCTV, ELECTRIC FENCE, GATE MOTORS N.k
✅Kusuka starters Kwa ajili ya motors.
✅Kuandaa michoro ya umeme.
✅Kuafanya maombi ya kuunganishiwa umeme.
🚧Tunafanya kazi Kwa kufuata Sheria na taratibu za kiufundi.
🚧Mifumo yetu ni salama, ya kisasa na inaokoa gharama.
🚧Tunatoa dhamana ya ubora na matengenezo baada ya kazi

Wasiliana nasi leo kupitia:-

☎️ 0653535595

🇹🇿

05/07/2026

🚨 SABASABA SPECIAL OFFER! 🚨

Bado unawalipia umeme wapangaji wenzio ambao hawanunui LUKU?

SITISHA HASARA HIYO LEO! ⚡

Kwa kutumia Prepaid Submeter kutoka DARWAT ELECTRICS, kila mpangaji atatumia umeme alioununua mwenyewe. Akimaliza units zake, mfumo unakata umeme wake pekee bila kuwaathiri wapangaji wengine.

Utapata faida hizi:
✅ Hakuna tena kubebana bili za umeme.
✅ Hakuna ugomvi na wapangaji kuhusu LUKU.
✅ Unaona units zilizobaki kwa kila mpangaji.
✅ Mfumo unadhibiti matumizi ya umeme kwa usahihi.
✅ Unalinda mapato yako na kuokoa muda.

🎉 OFA YA SABASABA!

💰 Prepaid Submeter: TSh 130,000 TU 🎁
UFUNGAJI NI BURE!

⏳ Ofa hii ni ya muda mfupi, hivyo usisubiri hadi upate hasara nyingine.

📞 Piga simu au njoo WhatsApp: 0653 535 595

DARWAT ELECTRICS – Tunakuletea suluhisho la kisasa la usimamizi wa umeme kwa nyumba za kupanga, apartments, hostels na biashara.

📲 Tufuate: Facebook | Instagram | LinkedIn | X

01/07/2026

Ukiwa na team makini za ufundi kutoka na hutojutia uwekezaji wako.

Hii ni awamu ya kwanza (Phase I) ya Ujenzi wa miundombinu ya kisasa ya umeme na maji.

Tupo hapa kwa mdau wetu aliyechagua kufanyiwa kazi zenye ubora.

Huduma zetu:
✅Tunafanya wiring majengo yote
✅Tunafunga mifumo ya solar
✅Tunafunga mifumo ya ulinzi (CCTV cameras, gate motor, electric fence, intercom, access control n.k)
✅Tunafunga mifumo ya taa za urembo (Lighting & decorations)
✅Tunasuka starters za motor
✅Tunafunga submeters

Mawasiliano:

☎️ 0653535595

Phase I : Kibaha, Maili Moja.Timu ya ufundi Darwat electrics inaendelea kutoa huduma bora kwa wateja wetu maeneo ya Kiba...
30/06/2026

Phase I : Kibaha, Maili Moja.

Timu ya ufundi Darwat electrics inaendelea kutoa huduma bora kwa wateja wetu maeneo ya Kibaha Maili Moja ili kutimiza ndoto za kumiliki mifumo ya kisasa ya umeme.

Tunapatikana Dar es salaam - Kariakoo na tunafika mikoa yote kikazi.

Waislianasi kupitia:-

Simu: 0653535595

Angalia kazi zetu kupitia:
Facebook, Instagram, X na LinkedIn




30/06/2026

PHASE I: Mvuti, Kidugalo.
Kazi safi, salama na ya kujivunia iliyofanywa na timu ya ufundi kutoka Darwat electrics .

Tuwasiliane kupitia:
☎️ 0653535595

Angalia kazi zetu kupitia:
Facebook, Instagram, X na LinkedIn

23/06/2026

Tunazingatia matumizi ya mifumo ya nje ya jengo hapo baadae ili kuepuka uharibifu na kuongeza gharama.

Tumeweka Waterproof boxes kwa ajili ya matoleo ya mifumo mbalimbali ya umeme na ulinzi itakayofungwa hapo baadae.

Kila kitu tunachofanya awamu ya kwanza kina mahusiano ya Moja Kwa Moja na hatua ya mwisho.

Karibu Darwat electrics timu bora ya ufundi umeme wa majumbani na viwandani upate huduma ya ushauri na ufundi.

Tuwasiliane kupitia:-

☎️ 0653535595

Kazi inaendelea☎️ 0653535595
15/06/2026

Kazi inaendelea
☎️ 0653535595

13/06/2026

IGUNGA - TABORA

Kazi inaendelea:-
✅Kutindua ukuta
✅Kujengea boxes
✅Kupachika conduit pipes.

PHASE - I

☎️ 0653535595

⚡ Hodi Hodi TABORA! ⚡Timu yetu ya wataalamu kutoka Darwat electrics ipo njiani kuelekea Tabora kwa ajili ya kazi ya ujen...
10/06/2026

⚡ Hodi Hodi TABORA! ⚡

Timu yetu ya wataalamu kutoka Darwat electrics ipo njiani kuelekea Tabora kwa ajili ya kazi ya ujenzi wa mifumo bora na ya kisasa ya umeme kwa awamu ya kwanza (Phase I).

Kwa wadau wetu mliopo Igunga na maeneo ya jirani; huu ni wakati mzuri wa kukutana nasi, kututembelea au kutualika kwenye sites zenu ili tujadiliane namna bora ya kutimiza ndoto zenu za kuwa na mifumo bora ya umeme iliyo salama, ya kisasa na inayokidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye.

🎁 OFA MAALUM:
Wateja watakaowahi kutualika site katika msimu huu watapata ushauri wa kitaalamu na huduma zetu kwa masharti nafuu zaidi.

👷‍♂️Tunajivunia kuwa na timu ya wataalamu wenye uzoefu, weledi na kujitoa katika kutoa suluhisho bora za umeme kwa nyumba, biashara na miradi mbalimbali.

📞 Simu / WhatsApp: 0653 535 595

Darwat Electrics — Tunajenga mifumo ya umeme ya kisasa kwa ubora unaoaminika.

Address

Kijichi
Dar Es Salaam

Telephone

+255653535595

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Darwat electrics posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Darwat electrics:

Shortcuts

Share

Category