Dasi Septic Tanks

Dasi Septic Tanks TUNATOA HUDUMA YA KUJENGA MASHIMO YA CHOO YA KISASA

π—ͺπ—”π—π—˜π—‘π—­π—œ π—ͺ𝗔 π— π—”π—¦π—›π—œπ— π—’ 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗒𝗒 𝗬𝗔 π—žπ—œπ—¦π—”π—¦π—” π—¬π—”π—¦π—œπ—¬π—’π—π—”π—” π— π—”π—π—œπ—§π—”π—žπ—”DASI SEPTIC TANKS tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya...
24/01/2025

π—ͺπ—”π—π—˜π—‘π—­π—œ π—ͺ𝗔 π— π—”π—¦π—›π—œπ— π—’ 𝗬𝗔 𝗖𝗛𝗒𝗒 𝗬𝗔 π—žπ—œπ—¦π—”π—¦π—” π—¬π—”π—¦π—œπ—¬π—’π—π—”π—” π— π—”π—π—œπ—§π—”π—žπ—”
DASI SEPTIC TANKS tunatoa Hudumu ya ujenzi wa mashimo ya vyoo vya kisasa ni vyoo Bora na salama Kwa matumizi ya kila mtanzania
Sifa za vyoo vya kisasa.
Ni Imara na vina ubora wa Hali ya juu.
ujenzi wake Hutumia eneo dogo
Ni rafiki Kwa mazingira (Havitoi harufu mbaya)
Hudumu kwa mda mrefu (si rahisi kujaa)
Vinafaa Kwa matumizi ya makanisani/ miskitini, shuleni, hospital, nyumba za kuishi n.k
Vinafaa maeneo yote yaani sehemu za kichanga, mfinyanzi, n.k
Urefu futi 10 na upana futi 6
Vyoo hivi hujengwa Kwa kutumia mifumo miwili.
1. SEPTIC TANK SYSTEM
Huu ni mfumo ambao hutumia shimo moja na ujenzi wake Hutumia tofali, gharama yake ni 750,000/=
2. BIODIGESTER SYSTEM.
Huu ni mfumo ambao hutumia mashimo mawili, shimo moja hujengwa Kwa tofali na lingine Kwa mawe, gharama yake ni 1,200,000/
NB. Gharama zote za vifaa ni ndani ya bei tajwa yaani ni juu yetu.
Tunapatika kigamboni-Dar es salaam . HII OFFER KWA WAKAZI WA MKOA WA DAR ES SALAAM, Kwa mikoa mingine tunafika Kwa makubaliano maalumu tupigie kwa namba 0655 973959

Address

Kigamboni
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dasi Septic Tanks posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share