C L E Y

C L E Y Updates 24/7

23/08/2026

Kwenye miaka 30 ya Bongo Fleva msaniii Dogo Janja alipanda jukwaani ku-perform huku aliyewahi kuwa mke wake ambaye ni Irene Uwoya nae alikuwepo jukwaani kitu ambacho kilileta taswira nzuri ikimbukwe Irene Uwoya aliwahi kukataa kuwa hakufunga ndoa na Dogo Janja, sasa wengi walikuwa makini kuangalia muitikio wa Irene Uwoya baada ya kumuona dogo Janja jukwaani...

22/08/2026

Maimartha kaingia kwenye kumi na nane za Irene Uwoya na kujikuta anapewa matusi baada ya kutaka kufahamu k**a taarifa alizozisikia zina ukweli, kuwa Irene amekopa pesa kwa Anty Ezekiel mpaka sasa A list wenzake wamemchoka...

22/08/2026

Kwa Pipytida jaman mhhh....

20/08/2026

Irene Uwoya amekana kuvalishwa pete na Nanga...
Ikiwa ni tukio ambalo limetokea leo asubuhi na kuteka vichwa vya habari vya mitandao ya kijamii kwa siku nzima ya leo...

20/08/2026

Mwijaku atoa somo kwa wanaomcheka Kiredio...

19/08/2026

Licha ya skendo inayomuandama kwa sasa kuwa ameshindwa kuwalipa watu waliocheza michezo kwake akiwa k**a kijumbe...
Mariam Uswazi Food yeye bado anawaalika watu wanaoulizia magroup ya michezo iyo na kuwaambia wakienda kwake waende na akili timamu...

18/08/2026

Baada ya Mahusiano pendwa ya taifa kati ya Kiredio na Vee kuvunjika...
Upande wa pili Mr Uky na Mwamtobe wameonesha kumcheka kwa utani maana ni k**a aliambiwa akawa hasikii sasa kimemlamba...

17/08/2026

Kumbe ujauzito unaogopwa mpaka na wanajeshi...
Ila ndo asingizie kafia vitani kweli jamani...


16/08/2026

Mrembo ambaye ni maarufu kwa kusimulia mikasa mbalimbali katika mitandao yake ya kijamii, ameeleza kisa kilichomfanya kuanza safari yake ya kusimulia mikasa huku chanzo kikiwa ni stori iliyomhusu Ex wake... Endelea kufatilia hapa tunaweka full interview kwa vipande vipande...



CLEY MEDIA

15/08/2026

Eti watu weusi wote mashetani daah...

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
42

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when C L E Y posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to C L E Y:

Shortcuts

Share